Kikosi cha Simba SC tayari kwa mazoezi wakati wa kambi yake mjini Nice, Ufaransa mwaka 1993 kujiandaa na mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Kombe la CAF mwaka 1993 dhidi ya wenyeji, USM El Harrach nchini Algeria. Simba SC ilikwenda kufungwa 2-0 na kufuzu Nusu Fainali kwa ushindi wa jumla wa 3-2 baada ya kushinda 3-0 awali Dar es Salaam.
2024 NFL Mock Draft: Day 2 Predictions from Bleacher Report
-
Offense ruled the opening day of the 2024 NFL draft. The first round saw a
record-setting 23 offensive players come off the board in the first 32
picks. Much…
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment