• HABARI MPYA

    Monday, June 04, 2018

    SINGIDA UNITED YAMSAJILI KIUNGO WA TANZANIA PRISONS

    Mkurugenzi wa Singida United, Sanga Festo (kulia) akimkabidhi jezi ya klabu hiyo kiungo mpya, Kazungu Mashauri waliyemsajili kutoka Tanzania Prisons ya Mbeya. Zoezi hili lilifanyika wiki iliyopita, lakini Singida wamemtambulisha mchezaji huyo leo  
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SINGIDA UNITED YAMSAJILI KIUNGO WA TANZANIA PRISONS Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top