Nahodha wa Inter Milan, Mauro Icardi akiwa amevua jezi kuwaonyesha mashabiki baada ya kufunga hat trick katika ushindi wa 3-2 wa Inter Milan usiku wa jana Uwanja wa Giuseppe Meazza au San Siro mjini Milan. Icardi alifunga dakika za 28, 63 na 90 kwa penalti ya utata wakati mabao ya AC Milan yalifungwa na Suso dakika ya 56 na Samir Handanovic aliyejifunga dakika ya 81 katika mechi kali ya Serie A ya mahasimu wa Jiji la Milan PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jadon Sancho leads Borussia Dortmund's dressing room celebrations after
beating PSG to reach Champions League final as Man United outcast belts out
rendition of Adele hit
-
Sancho (pictured) played a pivotal role as his side ousted Kylian Mbappe
and Co in the second leg of their semi final against PSG on Tuesday, the
visitors ...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment