Tom Cleverley akikimbia kushangilia na Troy Deeney baada ya kuifungia Watford bao la ushindi dakika ya 90 na ushei wakiwafunga Arsenal 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Vicarage Road leo. Katikati ni mfungaji wa bao lao la Arsenal, Per Mertesacker dakika ya 39 akiwa ameshika kiuno. Bao la Kwanza la Watford lilifungwa na Troy Deeney kwa penalti dakika ya 71 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Faninfos für das Auswärtsspiel in Leipzig
-
Am Samstag (27.04.) spielt Borussia Dortmund um 15:30 Uhr in Leipzig. Rund
4.700 Fans aus Dortmund werden den BVB unterstützen. Wir haben für alle
mitreise...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment