Winga wa Simba, Abdul Ramadhani ‘Mashine’ (kushoto) na beki Twaha Hamidu ‘Noriega’ wakiwa mazoezini kwenye kambi ya Simba SC mjini Nice, Ufaransa mwaka 1993 kujiandaa na mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Kombe la CAF dhidi ya wenyeji, USM El Harrach mjini El Harrach. Hata hivyo, Simba ilikwenda kufungwa 2-0 El Harrach ingawa ilisonga mbele kwa ushindi wa 3-2 baada ya kushinda 3-0 kwenye mchezo wa kwanza Dar es Salaam
Premier League icon looks unrecognisable in this throwback snap... so can
you figure out who the former star, who has been back in the headlines this
week, is?
-
The former midfielder, who enjoyed plenty of success in their career, will
welcome his third child later this year - 18 years after the last - after
it was...
54 minutes ago
0 comments:
Post a Comment