Mshambuliaji Mbelgiji, Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la pili dakika ya 53 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya FC Basle jana Uwanja wa Old Trafford mjini Manchester kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine yalifungwa na Marouane Fellaini dakika ya 35 baada ya kuingia dakika ya 19 kuchukua nafasi ya Paul Pogba aliyeumia na Marcus Rashford dakika ya 84 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Vince McMahon Sells Final TKO Shares for $776M+ to End WWE Ties After 50+
Years
-
WWE co-founder Vince McMahon is ending his association with the promotion
after 55 years with the sale of his 8.02 million TKO Group Holdings shares,
which…
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment