• HABARI MPYA

    Saturday, September 16, 2017

    PAULINHO AIFUNGIA LA USHINDI BARCELONA YAILAZA ETAFE 2-1

    Paulinho akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la ushindi dakika ya 84 ikiwalaza wenyeji, Getafe 2-1 Uwanja wa Coliseum Alfonso Perez katika mchezo wa La Liga. Gaku Shibasaki alianza kuwafungia wenyeji dakika ya 39 kabla ya Denis Suarez kuisawazishia Barca dakika ya 62 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PAULINHO AIFUNGIA LA USHINDI BARCELONA YAILAZA ETAFE 2-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top