Paulinho akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la ushindi dakika ya 84 ikiwalaza wenyeji, Getafe 2-1 Uwanja wa Coliseum Alfonso Perez katika mchezo wa La Liga. Gaku Shibasaki alianza kuwafungia wenyeji dakika ya 39 kabla ya Denis Suarez kuisawazishia Barca dakika ya 62 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tennis greats accuse Carlos Alcaraz of mocking Novak Djokovic over bizarre
act in their classic Australian Open clash
-
The Serb was giving away 16 years to Alcaraz but that didn't matter at all
as he came from a set down to emerge victorious in an epic that transfixed
the c...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment