Mshambuliaji Robert Lewandowski akishangilia baada ya kuifungia Bayern Munich bao la kwanza kwa penalti dakika ya 12 baada ya yeye mwenyewe kuangushwa katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Anderlecht usiku wa jana Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich katika mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Thiago Alcantara dakika ya 65 na Joshua Kimmich dakika ya 90 katika mchezo ambao kiungo wa Anderlecht, Sven Kums alitolewa kwa kadi nyekundu baada ya kumsukuma Lewandowski PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NEWCASTLE NOTEBOOK: Magpies are NOT demanding £15-20m from Man United to
end Dan Ashworth's gardening leave... and several players are 'furious'
over prospect of draining post-season trip to Australia
-
CRAIG HOPE:If the FA do introduce new rules banning far-flung end-of-season
friendlies on the grounds of player welfare, it will be welcomed by
sections of...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment