Mshambuliaji Robert Lewandowski akishangilia baada ya kuifungia Bayern Munich bao la kwanza kwa penalti dakika ya 12 baada ya yeye mwenyewe kuangushwa katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Anderlecht usiku wa jana Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich katika mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Thiago Alcantara dakika ya 65 na Joshua Kimmich dakika ya 90 katika mchezo ambao kiungo wa Anderlecht, Sven Kums alitolewa kwa kadi nyekundu baada ya kumsukuma Lewandowski PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment