Mshambuliaji Robert Lewandowski akishangilia baada ya kuifungia Bayern Munich bao la kwanza kwa penalti dakika ya 12 baada ya yeye mwenyewe kuangushwa katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Anderlecht usiku wa jana Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich katika mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Thiago Alcantara dakika ya 65 na Joshua Kimmich dakika ya 90 katika mchezo ambao kiungo wa Anderlecht, Sven Kums alitolewa kwa kadi nyekundu baada ya kumsukuma Lewandowski PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Knicks cling on to eliminate 76ers 118-115 in nail-biting Game 6 victory,
advancing to face the Pacers in bitter conference semifinal rivalry matchup
-
The New York Knicks outlasted the Philadelphia 76ers on Thursday night to
advance to the Eastern Conference semifinals with a 118-115 victory in the
decidi...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment