Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP) Simon Sirro akipokea Kombe la ushindi wa tatu kutoka kwa Inspekta Hashim Abdallah wakati wa mapokezi ya wanamichezo wa jeshi hilo waliokuwa wakishiriki Michezo ya Majeshi ya Polisi kwa nchi za Afrika Mashariki (EAPCCO Games) nchini Uganda wiki iliyopita
IGP Simon Sirro akimpongeza
Mwanariadha wa Polisi, PC Basili John baada ya kushinda medali ya Dhahabu katika
Michezo ya EAPCCO
IGP Simon Sirro akimpongeza Koplo Gaston Komba baada ya kushinda medali ya shaba kwenye Taikwondo katika Michezo ya EAPCCO
IGP Simon Sirro akiwa na viongozi wengine na wanamichezo wa Polisi walioshiriki katika michezo ya EAPCCO wiki iliyopita nchini Uganda
Formula One team announce star will leave at the end of the season... with
18-year-old British sensation Oliver Bearman in pole position to replace him
-
A door opened and a seat became available on Friday for British teenager
Ollie Bearman to secure a place on the Formula One grid next season.
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment