Mshambuliaji wa Arsenal, Alexis Sanchez akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 67 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya FC Cologne ya Ujerumani kwenye mchezo wa Kundi H michuano ya Ligi ya Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Emirates, London. Mabao mengine ya The Gunners yalifungwa na Sead Kolasinac dakika ya 49 na Hector Bellerin dakika ya 81 baada ya wageni kutangulia kwa bao la Jhon Cordoba dakika ya tisa. Mechi hiyo ilichelewa kuanza jana kwa saa moja kutokana na vurugu za mashabiki wa FC Cologne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mark Allen believes he's found the balance to keep on partying but stay
focused on his game as he looks to land his first-ever Snooker world title
-
Mark Allen believes he has found the right balance and there is still time
to party as he bids to win his first Snooker world title.
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment