Mshambuliaji wa Arsenal, Alexis Sanchez akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 67 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya FC Cologne ya Ujerumani kwenye mchezo wa Kundi H michuano ya Ligi ya Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Emirates, London. Mabao mengine ya The Gunners yalifungwa na Sead Kolasinac dakika ya 49 na Hector Bellerin dakika ya 81 baada ya wageni kutangulia kwa bao la Jhon Cordoba dakika ya tisa. Mechi hiyo ilichelewa kuanza jana kwa saa moja kutokana na vurugu za mashabiki wa FC Cologne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jae'Lyn Withers Announces Return to UNC for 2024-25 Season for Final Year
of CBB
-
North Carolina is getting another member of the 2023-24 ACC regular-season
championship team back for one more year. Forward Jae'Lyn Withers told CBS
Sports'…
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment