• HABARI MPYA

    Monday, January 15, 2024

    YANGA SC YAACHANA NA WINGA 'MTAALAMU' JESUS MOLOKO


    KLABU ya Yanga imeachana na winga, Jesus Ducapel Moloko baada ya misimu miwili na nusu tangu ajiunge nayo Agosti mwaka 2021 akitokea AS Vita ya kwao, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC YAACHANA NA WINGA 'MTAALAMU' JESUS MOLOKO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top