KAPTENI MBWANA SAMATTA ARIPOTI KAMBINI TAIFA STARS MISRI
NAHODHA wa timu ya taifa ya Tanzania, Mbwana Ally Samatta anayechezea PAOK ya Ugiriki akiwa mazoezini leo Uwanja mdogo wa Cairo International baada ya kuwasili kambini leo kujiunga na wenzake kwa maandalizi ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON). Fainali za AFCON zinatarajiwa kuanza Januari 13 hadi Februari 11 mwaka huu nchini Ivory Coast na Taifa Stars imepangwa Kundi F pamoja na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Morocco na Zambia.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment