SIMBA YASAJILI STRAIKA MGAMBIA ALIKUWA ANACHEZA KAZAKHSTANI
KLABU ya Simba imemsajili mshambuliaji wa Kimataifa wa Gambia, Pa Omar Jobe (25) kutoka Zhenis ya Kazakhstani, huyo akiwa mchezaji wa nne mpya dirisha hili dogo. Wapya wengine Simba SC ni mshambuliaji Saleh Karabaka Kikuya (23) kutoka JKU na viungo Msenegal, Babacar Sarr (26) kutoka US Monastir ya Tunisia na winga, Ladaki Juma Chasambi (19) kutoka Mtibwa Sugar.
FAMACO I Programme spreads to FUFA’s 8 Regions
-
FUFA in association with the Regional Football Associations has confirmed a
full progamme to spread the capacity building courses for Football
Administra...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment