// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
MAN UNITED YAAMBULIA SARE KWA SPURS, 2-2 OLD TRAFFORD - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEMAN UNITED YAAMBULIA SARE KWA SPURS, 2-2 OLD TRAFFORD - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
MAN UNITED YAAMBULIA SARE KWA SPURS, 2-2 OLD TRAFFORD
WENYEJI, Manchester United jana wametoa sare ya kufungana mabao 2-2 na Tottenham Hotspur katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford Jijini Manchester. Mabao ya Manchester United yamefungwa na washambuliaji Mdenmark, Rasmus Højlund dakika ya tatu na Muingereza, Marcus Rashford dakika ya 40, wakati ya Spurs yamefungwa na Richarlison dakika ya 19 Rodrigo Bentancur dakika ya 46. Kwa matokeo hayo, Tottenham Hotspur inafikisha pointi 40 ingawa inabaki nafasi ya tano, wakati Manchester United inafikisha pointi 32 na kusogea nafasi ya saba baada ya wote kucgeza mechi 21.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment