YANGA SC YASAJILI MSHAMBULIAJI MUIVORY COAST ALIKUWA ANACHEZA UTURUKI
KLABU ya Yanga imemtambulisha mshambuliaji Muivory Coast, Joseph Guédé Gnadou (29) kuwa mchezaji wake mpya baada ya kumaliza mkataba wake, Tuzlaspor ya Uturuki. Guédé anakuwa mchezaji mpya wa tatu Yanga katika dirisha hili dogo, baada ya kiungo Shekhan Ibrahim Khamis (18) kutoka JKU ya Zanzíbar na winga, Augustine Okrah kutoka Bechem United ya kwao, Ghana.
Media Accreditation: Uganda Vs South Africa
-
FUFA wishes to inform you that the application process for accreditation to
cover the AFCON Qualifier 2025 match between Uganda and South Africa on
Frida...
CAF Postpones Libya vs Nigeria
-
The Confederation of African Football (CAF) has officially confirmed the
postponement of the AFCON 2025 second-leg match between Nigeria’s Super
Eagles a...
Edozie Njoku and the new APGA
-
By Ambrose Ododo it has been a long and tortuous journey for the birth of
the rebranded All Progressives Grand Alliance, APGA, and it looks like it
is go...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment