// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
CHELSEA YACHAPWA 1-0 NA MIDDLESBROUGH KOMBE LA LIGI ENGLAND - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINECHELSEA YACHAPWA 1-0 NA MIDDLESBROUGH KOMBE LA LIGI ENGLAND - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
CHELSEA YACHAPWA 1-0 NA MIDDLESBROUGH KOMBE LA LIGI ENGLAND
WENYEJI, Middlesbrough wameibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Chelsea usiku wa jana katika mchezo wa kwanza wa Nusu Fainali ya Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup Uwanja wa Riverside mjini Middlesbrough. Pongezi kwa mfungaji wa bao hilo pekee, kiungo Hayden Hackney dakika ya 37 na sasa timu hizo zitarudiana Januari 23 Uwanja wa Stamford Bridge Jijini London na mshindi wa jumla atakwenda Fainali ya michuano hiyo. Nusu Fainali nyingine ya Carabao Cup ni leo kati ya Liverpool na Fulham Uwanja wa Anfield kabla ya timu hizo kurudiana Januari 24 Uwanja wa Craven Cottage Jijini London.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment