KLABU ya Simba imemsajili kiungo wa ulinzi, Msenegal, Babacar Sarr kama mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba wake US Monastir ya Tunisia. Sare aliibukia klabu ya Wallydann, kabla ya kuhamia AS Pikine mwaka 2015, baadaye Mbour P.C. mwaka 2017, kabla ya kurejea AS Pikine mwaka 2018 zote za kwao, Senegal. Mwaka 2019 alijiunga na klabu maarufu Senegal, Teungueth FC ambako alicheza hadi mwaka 2021 akahamia Tunisia alikoanza na Olympique Beja hadi mwaka jana alipohamia 2023 US Monastir na sasa anatua ‘Unyamani’.
FAMACO I Programme spreads to FUFA’s 8 Regions
-
FUFA in association with the Regional Football Associations has confirmed a
full progamme to spread the capacity building courses for Football
Administra...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment