WENYEJI, Chelsea wameibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Fulham bao pekee la Cole Palmer kwa penalti dakika ya 45 na ushei katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge Jijini London. Kwa ushindi huo, Chelsea inafikisha pointi 31 katika mchezo wa 21 na kusogea nafasi ya nane, wakati Fulham inabaki na pointi zake 24 za mechi 21 pia nafasi ya 13.
FAMACO I Programme spreads to FUFA’s 8 Regions
-
FUFA in association with the Regional Football Associations has confirmed a
full progamme to spread the capacity building courses for Football
Administra...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment