• HABARI MPYA

    Monday, April 10, 2023

    TWIGA STARS YATANDIKWA 4-0 ALGERIA, KESHO WADOGO ZAO


    TIMU ya taifa ya Wanawake ya Tanzania, Twiga Stars imeanza vibaya ziara yake ya Algeria baada ya kuchapwa mabao 4-0 na wenyeji leo Uwanja wa Nelson Mandela mjini Baraki nchini humo.
    Timu hizo zitarudiana Jumatano, lakini kesho zitamenyana timu za vijana chini ya umri wa miaka 20 za Algeria na Tanzania. 


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TWIGA STARS YATANDIKWA 4-0 ALGERIA, KESHO WADOGO ZAO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top