• HABARI MPYA

    Wednesday, April 12, 2023

    TWIGA STARS YACHAPWA 3-0 NA ALGERIA MECHI YA KIRAFIKI


    TIMU ya taifa ya Wanawake ya Tanzania, Twiga Stars imekamilisha ziara yake ya Algeria kwa kuchapwa mabao 3-0 na wenyeji leo Uwanja wa Nelson Mandela mjini Baraki.
    Mechi ya kwanza Twiga Stars ilichapwa mabao 4-0 hapo hapo Uwanja wa Nelson Mandela mjini Baraki nchini humo.
    Ikumbukwe jana timu ya wasichana chini ya umri wa 20 ilichapwa 1-0 na mabinti wenzao wa Morocco hapo hapo Uwanja wa Uwanja wa Nelson Mandela mjini Baraki.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TWIGA STARS YACHAPWA 3-0 NA ALGERIA MECHI YA KIRAFIKI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top