Maabad Maulid alianza kuwafungia Coastal Union dakika ya 49, kabla ya Raizin Hafidh kuwasawazishia wenyeji, Dodoma Jiji dakika ya 87 akiifunga timu yake ya zamani.
Kwa matokeo hayo, Dodoma Jiji inafikisha pointi 28 na kusogea nafasi ya 10, wakati Coastal Union inafikisha pointi 27 na kusogea nafasi ya 11 baada ya wote kucheza mechi 26.
0 comments:
Post a Comment