Gareth Bale (kulia) akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Real Madrid bao la kusawazisha dakika ya 86 katika sare ya 2-2 na wenyeji, Villarreal kwenye mchezo wa La Liga jana Uwanja wa De la Ceramica. Hata hivyo nyota huyo wa Wales alitolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 90 na ushei baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano katika mchezo ambao alifunga pia bao la kwanza la Real dakika ya 45 na ushei huku mabao ya Villarreal yakifungwa na Gerard Moreno dakika ya 12 na Moi Gomez dakika ya 74 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Meet the secret weapon behind Jake Paul's plan to shock the world: How
Olympic speed skater helped YouTuber bounce back after Tommy Fury defeat
and put him on a collision course with Anthony Joshua
-
CHARLOTTE DALY IN MIAMI: Paul and Leerdam have become one of sport's more
unusual power couples because both operate at the sharp end of elite
competition.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment