Gareth Bale (kulia) akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Real Madrid bao la kusawazisha dakika ya 86 katika sare ya 2-2 na wenyeji, Villarreal kwenye mchezo wa La Liga jana Uwanja wa De la Ceramica. Hata hivyo nyota huyo wa Wales alitolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 90 na ushei baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano katika mchezo ambao alifunga pia bao la kwanza la Real dakika ya 45 na ushei huku mabao ya Villarreal yakifungwa na Gerard Moreno dakika ya 12 na Moi Gomez dakika ya 74 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Conan O'Brien to host Oscars for third year in a row
-
O'Brien will emcee the 2027 Academy Awards on 14 March 2027, Disney
announced at its upfront presentation on Tuesday. "Conan has created
remarkable energy ...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment