Gareth Bale (kulia) akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Real Madrid bao la kusawazisha dakika ya 86 katika sare ya 2-2 na wenyeji, Villarreal kwenye mchezo wa La Liga jana Uwanja wa De la Ceramica. Hata hivyo nyota huyo wa Wales alitolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 90 na ushei baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano katika mchezo ambao alifunga pia bao la kwanza la Real dakika ya 45 na ushei huku mabao ya Villarreal yakifungwa na Gerard Moreno dakika ya 12 na Moi Gomez dakika ya 74 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gift Anizoba’s movie thrills fans at premiere
-
The new movie, The Domestic Staff, of fast-rising Nollywood actress Gift
Anizoba thrilled viewers when it premiered on the YouTube Channel, Global
CrownT...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment