Mshambuliaji wa Arsenal, Pierre Emerick-Aubameyang akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kusawazisha dakika ya 71 katika sare ya 2-2 na Tottenham Hotspur jana Uwanja wa Emirates kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Spurs ilitangulia kwa mabao ya Christian Eriksen dakika ya 10 na Harry Kane kwa penalti dakika ya 40 baada ya Son Heung-Min kuchezewa rafu kwenye boksi, wakati bao la kwanza la Arsenal lilifungwa na Alexandre Lacazette dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australia's best women's footy stars slam the NRL for sticking them with
huge problem that would NEVER happen to men: 'Nobody realises the stress we
go through'
-
Queensland's Ali Brigginshaw and her NSW rival Tamika Upton will be bitter
enemies when this year's series starts on Thursday - but right now they're
both ...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment