Mshambuliaji wa Arsenal, Pierre Emerick-Aubameyang akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kusawazisha dakika ya 71 katika sare ya 2-2 na Tottenham Hotspur jana Uwanja wa Emirates kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Spurs ilitangulia kwa mabao ya Christian Eriksen dakika ya 10 na Harry Kane kwa penalti dakika ya 40 baada ya Son Heung-Min kuchezewa rafu kwenye boksi, wakati bao la kwanza la Arsenal lilifungwa na Alexandre Lacazette dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Knicks' Josh Hart Responds to 76ers' Reed: 'Don't Give a F--k About What He
Said'
-
After Paul Reed made himself public enemy No. 1 for the New York Knicks
leading into their playoff matchup with the Philadelphia 76ers, Josh Hart
had a frank…
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment