Mshambuliaji Mbrazil, Neymar da Silva Santos Junior, maarufu tu kama Neymar akishangilia baada ya kuifungia mabao matatu Paris Saint-Germain dakika za 20, 22 na 81 katika ushindi wa 6-1 dhidi ya Red Star Belgrade kwenye mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumatano Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris, Ufaransa. Mabao mengine ya PSG yamefungwa na Edinson Cavani dakika ya 37, Ángel Di María dakika ya 41 na Kylian Mbappe dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Something I've never seen in 50 years of watching football'
-
There was an unusual addition to Chelsea's huddle before their game against
Newcastle at Stamford Bridge - referee Paul Tierney.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment