Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona mabao mawili dakika za 56 na 90 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya wenyeji, Tottenham Hotspur kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumatano Uwanja wa Wembley mjini London. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Philippe Coutinho dakika ya pili na Ivan Rakitic dakika ya 28, wakati ya Spurs yamefungwa na Harry Kane dakika ya 52 na Erik Lamela dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nottingham Forest vs Man City - Premier League: Live score, team news and
updates as Pep Guardiola's side need a win to close the gap to league
leaders Arsenal
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest score, team news and updates
as Nottingham Forest host Manchester City at the City Ground in Sunday
evening's ...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment