Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona mabao mawili dakika za 56 na 90 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya wenyeji, Tottenham Hotspur kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumatano Uwanja wa Wembley mjini London. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Philippe Coutinho dakika ya pili na Ivan Rakitic dakika ya 28, wakati ya Spurs yamefungwa na Harry Kane dakika ya 52 na Erik Lamela dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Air freight rates soar as Middle East conflict blocks trade routes
-
March 13 (Reuters) - Air freight rates have risen by as much as 70% on some
routes since the start of the U.S.-Israeli war on Iran, data shows, as the
conf...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment