Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona mabao mawili dakika za 56 na 90 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya wenyeji, Tottenham Hotspur kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumatano Uwanja wa Wembley mjini London. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Philippe Coutinho dakika ya pili na Ivan Rakitic dakika ya 28, wakati ya Spurs yamefungwa na Harry Kane dakika ya 52 na Erik Lamela dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jockey at centre of Cheltenham spat accuses rival of 'racially abusing' him
after TV cameras caught foul-mouthed tirade in furious row
-
DOMINIC KING: The British Horseracing Authority are investigating an
allegation of racism after a televised spat between two jockeys on the
second day of t...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment