Nyota wa England, Dele Alli mwenye asili ya Nigeria akimiliki mpira katika ya wachezaji wa nchi yake hiyo ya asili wakati wa mchezo wa kirafiki leo Uwanaj wa Wembley, London kujiandaa na Fainali za Kombe la Dunia. England imeshinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Gary Cahill dakika ya saba na Harry Kane dakika ya 39 wakati la NIgeria limefungwa na Alex Iwobi dakika ya 47 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Two-time Cheltenham winner Shishkin dies
-
Two-time Cheltenham Festival winner Shishkin has died after breaking a leg
in an accident in his stable.
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment