Nyota wa England, Dele Alli mwenye asili ya Nigeria akimiliki mpira katika ya wachezaji wa nchi yake hiyo ya asili wakati wa mchezo wa kirafiki leo Uwanaj wa Wembley, London kujiandaa na Fainali za Kombe la Dunia. England imeshinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Gary Cahill dakika ya saba na Harry Kane dakika ya 39 wakati la NIgeria limefungwa na Alex Iwobi dakika ya 47 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Accused WH correspondents’ dinner attacker is tutor and computer programmer
from California
-
WASHINGTON (AP) — Social media posts that appear to match the California
man arrested Saturday in the shooting at the White House correspondents’
dinner sh...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment