Nyota wa England, Dele Alli mwenye asili ya Nigeria akimiliki mpira katika ya wachezaji wa nchi yake hiyo ya asili wakati wa mchezo wa kirafiki leo Uwanaj wa Wembley, London kujiandaa na Fainali za Kombe la Dunia. England imeshinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Gary Cahill dakika ya saba na Harry Kane dakika ya 39 wakati la NIgeria limefungwa na Alex Iwobi dakika ya 47 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mourinho says he agreed to replace Ferguson at Man Utd
-
David Moyes succeeded Sir Alex Ferguson at Old Trafford in 2013 but things
could have been so different, Jose Mourinho reveals in a new documentary.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment