Mshambuliaji wa Arsenal, Mfaransa Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la nne dakika ya 22 katika ushindi wa 4-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya Crystal Palace leo Uwanja wa Emirates, London. Mabao mengine ya The Gunners yamefungwa na Nacho Monreal dakika ya sita, Alex Iwobi dakika ya 10 na Laurent Koscielny dakika ya 13, wakati la kufutia machozi la Palace lilifungwa na Luka Milovojevic dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ogun: YPDC plans summit to address low education development in Yewaland
-
From Laide Raheem, Abeokuta Worried by low education development in
Yewaland in Ogun West senatorial district, an organization, Yewa People
Development...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment