Eden Hazard akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili Chelsea dakika za tatu na 77 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, Brighton & Hove Albion katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa AMEX leo. Mabao mengine ya The Blues yamefungwa na Willian dakika ya sita na Victor Moses dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Thomas Tuchel 'is on Man United's shortlist' if Sir Jim Ratcliffe decides
to replace Erik ten Hag - with the German set to leave Bayern Munich in the
summer despite fan protests
-
The German is poised to leave Bayern Munich at the end of the season, as
announced in February , even though more than 19,000 supporters have signed
a peti...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment