Eden Hazard akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili Chelsea dakika za tatu na 77 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, Brighton & Hove Albion katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa AMEX leo. Mabao mengine ya The Blues yamefungwa na Willian dakika ya sita na Victor Moses dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2027: Why Osun people shouldn’t feel betrayed by Adeleke’s endorsement of
Tinubu — Aide
-
The Osun State Governor, Ademola Adeleke, did not endorse President Bola
Tinubu’s 2027 re-election bid because he won the recent governorship
election, h...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment