Eden Hazard akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili Chelsea dakika za tatu na 77 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, Brighton & Hove Albion katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa AMEX leo. Mabao mengine ya The Blues yamefungwa na Willian dakika ya sita na Victor Moses dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Germany's manager Julian Nagelsmann QUITS to avoid the sack - after
infuriating his World Cup stars with row over interfering WAGs - with
Jurgen Klopp primed to take his job
-
Julian Nagelsmann has fallen on his sword - quitting as Germany manager
after their disastrous World Cup elimination by Paraguay.
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment