Wayne Rooney akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Everton dakika ya 27 ikiwabwaga wenyeji, Newcastle United 1-0 Uwanja wa St James' Park usiku wa jana katika mchezo wa Ligi Kuu ya England huo ukiwa mwendelezo wa wimbi la ushindi chini ya kocha mpya, Sam Allardyce PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Newcastle's Hall keen on Man Utd switch - Friday's gossip
-
Manchester United keen on wantaway Newcastle left-back Lewis Hall, Spanish
giants close in on Bernardo Silva, Real Madrid target Manchester City's
Josko Gv...
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment