Willian akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la nne kwa penalti dakika ya 73 baada ya yeye mwenyewe kuangushwa na Geoff Cameron katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Stoke City leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao mengine ya The Blues yamefungwa na Antonio Rudiger dakika ya tatu, Danny Drinkwater dakika ya tisa, Pedro dakika ya 23 na Davide Zappacosta dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Will Zhao v Ding draw the biggest TV audience in snooker history?
-
China prepares for the last-16 match between Ding Junhui and Zhao Xintong –
the country's first ranking event winner and trailblazer against its first
- an...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment