Willian akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la nne kwa penalti dakika ya 73 baada ya yeye mwenyewe kuangushwa na Geoff Cameron katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Stoke City leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao mengine ya The Blues yamefungwa na Antonio Rudiger dakika ya tatu, Danny Drinkwater dakika ya tisa, Pedro dakika ya 23 na Davide Zappacosta dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🏆 Champions League returns: all you need to know about the last 16
-
The UEFA Champions League enters its most exciting phase. After a draw that
resulted in matchups worthy of an early final, the 16 best teams on the
contine...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment