Jesse Lingard akishangilia kishujaa baada ya kuifungia Manchester United mabao ya kusawazisha dakika za 53 na 90 na ushei ikitoka nyuma kwa 2-0 na kupata sare ya 2-2 dhidi ya Burnley katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford. Burnley ilitangulia kwa mabao ya Ashley Barnes dakika ya tatu na Steven Defour dakika ya 36 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester United close to agreeing terms with Barcelona over midfielder Frenkie de Jong
-
Manchester United are inching towards a conclusion in their protracted
pursuit of Frenkie de Jong from Barcelona and hope to have the transfer
completed th...
Dakika 9 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni