Jesse Lingard akishangilia kishujaa baada ya kuifungia Manchester United mabao ya kusawazisha dakika za 53 na 90 na ushei ikitoka nyuma kwa 2-0 na kupata sare ya 2-2 dhidi ya Burnley katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford. Burnley ilitangulia kwa mabao ya Ashley Barnes dakika ya tatu na Steven Defour dakika ya 36 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
New Zealand Warriors star's courageous act of sacrifice to produce NRL
moment for the ages
-
Roger Tuivasa-Sheck is in the twilight of his footy career - but the
veteran turned back the clock on Friday with an inspiring play his Warriors
teammates ...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment