Jesse Lingard akishangilia kishujaa baada ya kuifungia Manchester United mabao ya kusawazisha dakika za 53 na 90 na ushei ikitoka nyuma kwa 2-0 na kupata sare ya 2-2 dhidi ya Burnley katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford. Burnley ilitangulia kwa mabao ya Ashley Barnes dakika ya tatu na Steven Defour dakika ya 36 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Littler cuts gap to Clayton with win in Liverpool
-
Luke Littler strengthens his grip on a play-off place in the Premier League
with an impressive 6-1 win over Jonny Clayton.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment