Lionel Messi akipiga ngumi hewani Uwanja wa Santiago Bernabeu baada ya kuifungia Barcelona bao la pili dakika ya 64 kwa penalti kufuatia Dani Carjaval kuuzuia kwa mkono mpira uliopigwa na Paulinho kwenye boksi katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Real Madrid kwenye mchezo wa La liga leo. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Luis Suarez dakika ya 54 na Aleix Vidal dakika ya 90 na ushei. Real Madrid ilimaliza pungufu baada ya Dani Carjaval kutolewa kadi nyekundu dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Elliot Anderson aims dig at Man United after sealing £116m move to Man City
as he declares: 'I've joined the kings of Manchester'
-
Anderson, 23, joins City on a five-year deal, signing a contract until the
summer of 2031, and becomes the second most expensive British transfer.
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment