Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa timu ya taifa ya visiwani humo, Zanzibar Heroes baada ya kupata nao chakula cha mchana Ijumaa kuwapongeza kwa kushika nafasi ya pili kwenye michuano ya CECAFA Challenge nchini Kenya
Rais Dk Ali Mohammed Shein akiwahutubia wachezaji wa Zanzibar Heroes
Wachezaji wa Zanzibar Heroes wakijitilia chakula
Wachezaji wa Zanzibar Heroes wakimskiliza Rais, Dk Ali Mohammed Shein
Brisbane Lions stars have 'split up with their partners due to what
happened on end-of-season trip to Las Vegas'
-
The Lions went undefeated at the Gabba for the entire 2023 season but have
already lost two home matches this year, leaving fans scratching their
heads ove...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment