Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia bao la tatu Liverpool dakika ya 44 ikiwalaza 4-0 wenyeji AFC Bournemouth katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Vitality. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Philippe Coutinho dakika ya 20, Dejan Lovren dakika ya 26 na Roberto Firmino dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
INSIDE SPORT: Sunderland fans blast 'scandalous' £1,300 Wembley tickets...
plus, latest on Gary Lineker's BBC future and how Chelsea made Premier
League history
-
An FA-licensed ticket seller has been attempting to charge Sunderland
supporters more than twice the amount offered to Sheffield United fans for
the Champi...
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment