Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia bao la tatu Liverpool dakika ya 44 ikiwalaza 4-0 wenyeji AFC Bournemouth katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Vitality. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Philippe Coutinho dakika ya 20, Dejan Lovren dakika ya 26 na Roberto Firmino dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL world reacts to Bears picking Keyshaun Elliott in 2026 NFL Draft
-
The Chicago Bears selected linebacker Keyshaun Elliott in the 2026 NFL
Draft. Here's how fans are reacting.
36 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment