Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia bao la tatu Liverpool dakika ya 44 ikiwalaza 4-0 wenyeji AFC Bournemouth katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Vitality. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Philippe Coutinho dakika ya 20, Dejan Lovren dakika ya 26 na Roberto Firmino dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Driver killed in A40 lorry crash
-
The ambulance service says the man was found in a "critical condition" near
Glewstone.
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment