Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia bao la tatu Liverpool dakika ya 44 ikiwalaza 4-0 wenyeji AFC Bournemouth katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Vitality. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Philippe Coutinho dakika ya 20, Dejan Lovren dakika ya 26 na Roberto Firmino dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Erik ten Hag says Jadon Sancho's stellar display for Borussia Dortmund
against PSG is good news for Man United… because exiled winger's value will
go up!
-
Sancho's revival on loan at his old club in Germany continued when he
produced a man-of-the-match performance in Dortmund's Champions League
semi-final win
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment