Harry Kane akikimbia kushangilia baada ya kufunga mabao matatu dakika za 22, 39 na 67 katika ushindi wa 5-2 wa Tottenham Hotspur dhidi ya Southampton leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Wembley. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Delle Alli dakika ya 49 na Son Heung-Min dakika ya 51, wakati ya Southampton yamefungwa na Sofiane Boufal dakika ya 64 na Dusan Tadic dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nasarawa North decides: over 300,000 voters set to choose Akwashiki’s
successor
-
Over 300,000 voters prepare for the June 20 NASARAWA NORTH BY-ELECTION as
PDP candidate David Ombugadu campaigns to succeed the late Senator
Akwashiki.
...
50 seconds ago



.png)
0 comments:
Post a Comment