Harry Kane akikimbia kushangilia baada ya kufunga mabao matatu dakika za 22, 39 na 67 katika ushindi wa 5-2 wa Tottenham Hotspur dhidi ya Southampton leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Wembley. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Delle Alli dakika ya 49 na Son Heung-Min dakika ya 51, wakati ya Southampton yamefungwa na Sofiane Boufal dakika ya 64 na Dusan Tadic dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Littler cuts gap to Clayton with win in Liverpool
-
Luke Littler strengthens his grip on a play-off place in the Premier League
with an impressive 6-1 win over Jonny Clayton.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment