Kipa wa Simba, Athumani Mambosasa (sasa marehemu) akiruka kudaka mpira dhidi ya mshambuliaji wa Yanga, Kitwana Manara katika fainali ya Klabu Bingwa ya Taifa Agosti 10, mwaka 1974 Uwanja wa Nyamagana mjini Mwanza. Katikati ni beki wa Simba, Jumanne Hassan Masimenti (marehemu pia) akiwa tayari kutoa msaada. Yanga ilitoka nyuma kwa bao la Adam Sabu dakika ya 16 na kushinda 2-1 kwa mabao ya Gibson Sembuli (marehemu pia) dakika ya 87 na Sunday Manara dakika ya 97 katika mchezo uliodumu kwa dakika 120.
Nasarawa North decides: over 300,000 voters set to choose Akwashiki’s
successor
-
Over 300,000 voters prepare for the June 20 NASARAWA NORTH BY-ELECTION as
PDP candidate David Ombugadu campaigns to succeed the late Senator
Akwashiki.
...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment