Kipa wa Simba, Athumani Mambosasa (sasa marehemu) akiruka kudaka mpira dhidi ya mshambuliaji wa Yanga, Kitwana Manara katika fainali ya Klabu Bingwa ya Taifa Agosti 10, mwaka 1974 Uwanja wa Nyamagana mjini Mwanza. Katikati ni beki wa Simba, Jumanne Hassan Masimenti (marehemu pia) akiwa tayari kutoa msaada. Yanga ilitoka nyuma kwa bao la Adam Sabu dakika ya 16 na kushinda 2-1 kwa mabao ya Gibson Sembuli (marehemu pia) dakika ya 87 na Sunday Manara dakika ya 97 katika mchezo uliodumu kwa dakika 120.
Xabi Alonso will NOT succeed Jurgen Klopp at Liverpool with Anfield icon
set to stay at Bayer Leverkusen as Ruben Amorim emerges as new favourite
-
Alonso had been strongly mooted as a Jurgen Klopp successor since the
German announced he was to leave the club this summer.
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment