Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia (kushoto) akitazama simu yake pembeni ya makamu wake, Michael Wambura wakati wa mkutano na Wahariri wa vyombo vya Habari leo hoteli ya SeaScape, Kunduchi, Dar es Salaam
Kaimu Katibu Mkuu wa TFF, Wilfred Kidau (kushoto) akifuatilia mkutano. Kulia Mwenyekiti wa Chama cha Soka Dar es Salaam (DRFA)
Wallace Karia (kulia) akiwa na Ofisa wa Macron wakati wa kusaini mkataba wa udhamini wa jezi za timu za taifa
Kulikuwa na sala maalum ya kumuombea kocha wa zamani wa timu ya taifa, Joel Bendera aliyefariki dunia mapema mwezi huu
Waandishi wa Habari wakifuatilia jambo katika mkutano huo
Wahariri wa Vyombo vya Habari katika picha ya pamoja na viongozi wa TFF
Liverpool haven't scored from open play in over SIX hours of football...
Have the Reds lost their killer edge at the worst time? And is Klopp's
farewell in danger of turning sour?
-
With so much to play for, Liverpool were poised to make this season one to
remember and deliver an epic send-off for their manager. But the past
fortnight ...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment