Wachezaji wa Everton wakimpongeza Gylfi Sigurdsson baada ya kufunga bao la pili dakika ya 64 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Swansea City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Goodison Park mjini Liverpool. Mabao mengine ya Everton yalifungwa na Dominic Calvert-Lewin dakika ya 45 na ushei na Wayne Rooney kwa penalti dakika ya 73, wakati la Swansea lilifungwa na Leroy Fer dakika ya 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ange Postecoglou looks 'BEATEN' at Tottenham and they have 'fallen off a
cliff', claims Jamie Redknapp - as Spurs crumble against Chelsea and their
manager loses his temper
-
The Spurs boss cut a frustrated figure during and after their 2-0 defeat by
Chelsea on Thursday night. A touchline outburst at his players and snappy
talk ...
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment