Wachezaji wa Everton wakimpongeza Gylfi Sigurdsson baada ya kufunga bao la pili dakika ya 64 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Swansea City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Goodison Park mjini Liverpool. Mabao mengine ya Everton yalifungwa na Dominic Calvert-Lewin dakika ya 45 na ushei na Wayne Rooney kwa penalti dakika ya 73, wakati la Swansea lilifungwa na Leroy Fer dakika ya 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside LeBron James's family feud with new Philadelphia 76ers teammate amid
the bombshell move that rocked the NBA
-
The 41-year-old, who left the Lakers after eight seasons, admitted he
thought he had played his final game, but has decided instead to sign a
two-year deal...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment