Wachezaji wa Everton wakimpongeza Gylfi Sigurdsson baada ya kufunga bao la pili dakika ya 64 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Swansea City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Goodison Park mjini Liverpool. Mabao mengine ya Everton yalifungwa na Dominic Calvert-Lewin dakika ya 45 na ushei na Wayne Rooney kwa penalti dakika ya 73, wakati la Swansea lilifungwa na Leroy Fer dakika ya 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tennis expert reveals what Iga Swiatek is REALLY like behind the scenes
after World No 2 enraged fans by smashing ball at a ball kid in shocking
moment
-
The Pole came under fire after she smashed a ball at a ball kid following
her devastating loss to Russian teenager Mirra Andreeva 7-6 1-6 6-3 to
reach the ...
52 minutes ago
0 comments:
Post a Comment