Wachezaji wa Everton wakimpongeza Gylfi Sigurdsson baada ya kufunga bao la pili dakika ya 64 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Swansea City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Goodison Park mjini Liverpool. Mabao mengine ya Everton yalifungwa na Dominic Calvert-Lewin dakika ya 45 na ushei na Wayne Rooney kwa penalti dakika ya 73, wakati la Swansea lilifungwa na Leroy Fer dakika ya 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fare dodging epidemic: Fines and prosecutions rise in crackdown as
thousands jump barriers
-
Transport for London said it secured 14,406 convictions for fare evasion in
2025/26 - an increase of 955 on the year before
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment