NEEMA ZAIDI ZANZIBAR HEROES, WAPEWA MAMILIONI MCHANA KWEUPEE
Mchezaji wa zamani wa klabu za Chipukizi SC na Shangani FC, Mohammed Abbas (kushoto), akimkabidhi mchezaji wa timu ya Taifa Zanzibar (The Zanzibar Heroes) Mudathir Yahya, fedha shilingi milioni 3.3 zilizochangwa na klabu ya wapenzi wa Zanzibar Heroes tangu timu hiyo ikiwa Kenya kwenye mashindano ya CECAFA Challenge Cup 2017 ambapo Zanzibar ilitinga fainali na kufungwa na Harambee Stars kwa mikwaju ya penelti baada ya sare ya 2-2 ndani ya dakika 120. Makabidhiano hayo yakifanyika viwanja vya Forodhani yakiambatana na burudani mbalimbali. (Picha kwa hisani ya Zanzibar Heroes Fans Club).
Kwibuka28: Rwandans in Middle East commemorate
-
The Rwandan community in the Middle East countries of United Arab Emirates,
Saudi Arabia and Bahrain convened in Abu Dhabi and remotely to mark the
28th ...
Arsenal set to make improved Raphinha bid
-
Arsenal are expected to make an improved bid for Leeds
United forward Raphinha. Arsenal's opening bid for Raphinha was rejected as
it fell below Leeds' val...
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni