Refa Mike Dean akipuuza malalamiko ya beki Mholanzi wa Manchester United, Daley Blind usiku wa Jumatano katika mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Ligi England dhidi ya wenyeji, timu ya Daraja la Kwanza, Bristol City Uwanja wa Ashton Gate. Bristol imeshinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Joe Bryan dakika ya 51 na Korey Smith dakika ya 90 na ushei, wakati la United lilifungwa na Zlatan Ibrahimovic dakika ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Littler cuts gap to Clayton with win in Liverpool
-
Luke Littler strengthens his grip on a play-off place in the Premier League
with an impressive 6-1 win over Jonny Clayton.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment