Refa Mike Dean akipuuza malalamiko ya beki Mholanzi wa Manchester United, Daley Blind usiku wa Jumatano katika mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Ligi England dhidi ya wenyeji, timu ya Daraja la Kwanza, Bristol City Uwanja wa Ashton Gate. Bristol imeshinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Joe Bryan dakika ya 51 na Korey Smith dakika ya 90 na ushei, wakati la United lilifungwa na Zlatan Ibrahimovic dakika ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
VIDEO: Watch highlights of Hearts of Oak’s 2-1 win over Bechem United to win the MTN FA Cup
-
Hearts of Oak defeated Bechem United 2-1 to defend their MTN FA Cup trophy
at the Baba Yara Sports Stadium.Emmanuel Avornyo struck the first goal for
Beche...
Dakika 15 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni