Refa Mike Dean akipuuza malalamiko ya beki Mholanzi wa Manchester United, Daley Blind usiku wa Jumatano katika mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Ligi England dhidi ya wenyeji, timu ya Daraja la Kwanza, Bristol City Uwanja wa Ashton Gate. Bristol imeshinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Joe Bryan dakika ya 51 na Korey Smith dakika ya 90 na ushei, wakati la United lilifungwa na Zlatan Ibrahimovic dakika ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rodrygo latest: 'Five Premier League clubs - including Man United - ready
to battle over the Brazilian' as he looks to depart Real Madrid following
issue with Jude Bellingham
-
The Brazilian is primed for a summer exit from the Santiago Bernabeu after
reportedly deciding he doesn't want to play for the club again, and is
believed ...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment