Mshambuliaji Simba, John Bocco akigombea mpira na beki wa Green Warriors, Cecil Efram katika mchezo wa hatua ya 64 Bora michuano ya Azam Sports Federation Cup usiku wa jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Green Warriors ilishinda kwa penalti 4-3 baada ya sare 4-3
Beki George Minja (kulia) akimtuliza John Bocco wakati wa kupigwa kwenye lango lao, huku kipa Shaaban Dihile akiwapanga mabeki wake kwa ujumla
Mshambuliaji kinda wa Simba, Moses Kitandu akiwatoka wachezaji wa Green Warriors
Mohammed Hussein 'Tshabalala' akikimbilia mpira dhidi ya mchezaji wa Green Warriors
Kiungo wa Simba, Said Ndemla akimiliki mpira mbele ya mchezaji wa Green Warriors
Kiungo mkongwe Mwinyi Kazimoto akimuacha chini mchezaji wa Green Warriors
Kiungo wa Green Warriors, Hassan Gumbo akimtoka beki wa Simba, Ally Shomary
Winga wa Simba, Shiza Kichuya akiwatoka wachezaji wa Green Warriors
Kikosi cha Green Warriors katika mchezo wa jana
Kikosi cha Simba katika mchezo wa jana
Xabi Alonso reveals he has held private talks with Estevao over lack of
game time - and amid reports in Brazil the forward is concerned about his
Blues future
-
KIERAN GILL: Alonso has held private talks with Estevao Willian amid
speculation that Chelsea's Brazilian boy wonder is concerned with his lack
of opportun...
40 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment