Mshambuliaji Simba, John Bocco akigombea mpira na beki wa Green Warriors, Cecil Efram katika mchezo wa hatua ya 64 Bora michuano ya Azam Sports Federation Cup usiku wa jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Green Warriors ilishinda kwa penalti 4-3 baada ya sare 4-3
Beki George Minja (kulia) akimtuliza John Bocco wakati wa kupigwa kwenye lango lao, huku kipa Shaaban Dihile akiwapanga mabeki wake kwa ujumla
Mshambuliaji kinda wa Simba, Moses Kitandu akiwatoka wachezaji wa Green Warriors
Mohammed Hussein 'Tshabalala' akikimbilia mpira dhidi ya mchezaji wa Green Warriors
Kiungo wa Simba, Said Ndemla akimiliki mpira mbele ya mchezaji wa Green Warriors
Kiungo mkongwe Mwinyi Kazimoto akimuacha chini mchezaji wa Green Warriors
Kiungo wa Green Warriors, Hassan Gumbo akimtoka beki wa Simba, Ally Shomary
Winga wa Simba, Shiza Kichuya akiwatoka wachezaji wa Green Warriors
Kikosi cha Green Warriors katika mchezo wa jana
Kikosi cha Simba katika mchezo wa jana
Liverpool AGREE deal with Feyenoord to make Arne Slot Reds' new manager, as
Dutch side accept compensation package for boss to replace Jurgen Klopp
-
Arne Slot is set to be named the new manager of Liverpool , after the club
agreed a compensation package with Feyenoord.
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment