Mshambuliaji Alvaro Morata akiwa ameweka mpira tumboni ndani ya jezi kushangilia baada ya kuifungia bao la pili Chelsea dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 2-1 dhidi ya AFC Bournemouth kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup. Morata alifanya hivyo kwa sababu mkewe ni mja mzito, lakini akaonyeshwa kadi ya njano na ataukosa mchezo ujao dhidi ya Everton PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester United are in 'DISARRAY' and Erik ten Hag faces his toughest job, claims Paul Merson
-
United are hoping to write a new chapter after former Ajax boss Ten Hag was
confirmed as their new manager, but the Dutchman has plenty of work to do
in or...
Dakika 32 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni