Mshambuliaji Alvaro Morata akiwa ameweka mpira tumboni ndani ya jezi kushangilia baada ya kuifungia bao la pili Chelsea dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 2-1 dhidi ya AFC Bournemouth kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup. Morata alifanya hivyo kwa sababu mkewe ni mja mzito, lakini akaonyeshwa kadi ya njano na ataukosa mchezo ujao dhidi ya Everton PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brisbane Lions stars have 'split up with their partners due to what
happened on end-of-season trip to Las Vegas'
-
The Lions went undefeated at the Gabba for the entire 2023 season but have
already lost two home matches this year, leaving fans scratching their
heads ove...
57 minutes ago
0 comments:
Post a Comment