Sergio Aguero akiifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 27 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya AFC Bournemouth leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad. Aguero alifunga na la tatu dakika ya 79 na kufikisha mabao 100 katika timu hiyo wakati mabao mengine yalifungwa na Raheem Sterling dakika ya 53 na Danilo dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United's 'Wembley' tweet IMMEDIATELY after rivals City lose on
penalties to Real Madrid has fans in stitches as the Red Devils prepare for
FA Cup semi-final with Coventry
-
Manchester United's 'Wembley' tweet immediately after Man City lost on
penalties had fans in stitches on Wednesday night.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment