Sergio Aguero akiifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 27 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya AFC Bournemouth leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad. Aguero alifunga na la tatu dakika ya 79 na kufikisha mabao 100 katika timu hiyo wakati mabao mengine yalifungwa na Raheem Sterling dakika ya 53 na Danilo dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inter Milan chief Giuseppe Marotta says Romelu Lukaku's return could be confirmed in 'a few days'
-
The Belgian left the San Siro for Stamford Bridge with huge expectations on
his shoulders after signing for £98million last summer, but soon found
himself ...
Dakika 24 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni