Kipa David De Gea akiushuhudia mpira uliopigwa na Harry Maguire ukimpita na kujaa nyavuni kuipatia Leicester City bao la kusawazisha dakika ya nne ya muda wa nyongeza baada ya kutimia dakika 90 za kawaida za mchezo wa Ligi Kuu ya England uliomalizika kwa sare ya 2-2 usiku wa Jumamosi Uwanja wa king Power. Bao lingine la Leicester limefungwa na Jamie Vardy dakika ya 27, wakati mabao ya Man United yamefungwa na Juan Mata yote dakika za 40 na 60 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wukari/Ibi Rep hopeful expresses confidence in Taraba PDP
-
PDP aspirant Alhaji Muktar Galadima has expressed strong confidence in
Taraba PDP leadership and dismissed crisis rumours as he submits nomination
forms ...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment