Raheem Sterling akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao pekee la ushindi dakika ya 30 akimalizia pasi ya Kevin De Bruyne wakiichapa 1-0 Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa St. James' Park na huo unakuwa mchezo wa 18 mfululizo timu ya Pep Guardiola inashinda katika Ligi Kuu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jordyn Tyson goes to Saints at 8th overall, giving offense another weapon
-
The Saints got some help for second-year quarterback Tyler Shough.
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment