Kiungo Willian Borges da Silva akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 13 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya AFC Bournemouth usiku wa Jumatano Uwanja wa Stamford Bridge, London kwenye mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup. Bao la pili la Chelsea lilifungwa na Álvaro Morata dakika ya 90 na ushei, baada ya kiungo Dan Gosling kuisawazishia Bournemouth dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Xabi Alonso delivers blow to former sides Liverpool and Bayern Munich as he
confirms he will STAY at Bundesliga leaders Bayer Leverkusen beyond this
season rather than replace Jurgen Klopp or Thomas Tuchel
-
Xabi Alonso confirms he will stay at Bundesliga leaders Bayer Leverkusen
beyond this season rather than replace Jurgen Klopp or Thomas Tuchel.
5 minutes ago
0 comments:
Post a Comment