Kiungo Willian Borges da Silva akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 13 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya AFC Bournemouth usiku wa Jumatano Uwanja wa Stamford Bridge, London kwenye mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup. Bao la pili la Chelsea lilifungwa na Álvaro Morata dakika ya 90 na ushei, baada ya kiungo Dan Gosling kuisawazishia Bournemouth dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Insecurity: OPC leader, Adams, backs Mattawalle’s directive on self-defence
-
From Oluseye Ojo, Ibadan, Bamigbola Gbolagunte, Akure The highest
decision-making organ of the Aare Ona Kakanfo of Yorubaland, known as Aare
Ona Kakanfo-...
Dakika 18 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni