Beki wa Chelsea, Marcos Alonso akiwapigia saluti mashabiki Uwanja wa Stamford Bridge baada ya kufunga bao la pili dakika ya 60 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Brighton & Hove Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Bao la kwanza la The Blues limefungwa na Alvaro Morata dakika ya 46 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Will Zhao v Ding draw the biggest TV audience in snooker history?
-
China prepares for the last-16 match between Ding Junhui and Zhao Xintong –
the country's first ranking event winner and trailblazer against its first
- an...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment