Beki wa Chelsea, Marcos Alonso akiwapigia saluti mashabiki Uwanja wa Stamford Bridge baada ya kufunga bao la pili dakika ya 60 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Brighton & Hove Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Bao la kwanza la The Blues limefungwa na Alvaro Morata dakika ya 46 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Supercoach Wayne Bennett is famous for turning footy bad boys into model
citizens - and now an NRL legend has revealed how he does it
-
Footy great Gorden Tallis has revealed how Supercoach Wayne Bennett has
repeatedly turned NRL bad boys into model citizens. It comes as the
Rabbitohs are t...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment