Beki wa Chelsea, Marcos Alonso akiwapigia saluti mashabiki Uwanja wa Stamford Bridge baada ya kufunga bao la pili dakika ya 60 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Brighton & Hove Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Bao la kwanza la The Blues limefungwa na Alvaro Morata dakika ya 46 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Amon-Ra St. Brown becomes highest-paid wideout in the NFL with $120M,
four-year extension
-
The extension includes $77million guaranteed, as St. Brown, 24, will now
have to wait until 2029 to become a free agent. His salary ties him with
Hill for ...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment